DAR ES SALAAM COLLEGE OF HOTEL AND BUSINESS STUDIES

DAR ES SALAAM COLLEGE OF HOTEL AND BUSINESS STUDIES
P.O BOX 40015, TANZANIA EAST AFRICA NAFASI ZA MASOMO YA HOTEL, TOURISM& BUSINESS CERTIFICATE AND DIPLOMA COURSE IN 1. Hotel Reception and front office 2. Food science and Beverage services 3. Tourism and Travel studies 4. Hotel House keeping 5. Food Production Cooking and Bakery 6. Clearing and forwarding 7. Computer studies and Maintenance 8. Accounting 9. Business Administration 10. Procurement & Supply 11. Human Resource Chuo kimesajiliwa NACTE Reg No (BMG/054P) KwaMawasilianozaidi: 0713-601763, 0755-823449, 0789-0447442, 0767-929110

TIBA


TIBA

TIBA KWA AKINAMAMA WENYE MATATIZO

YAFUATAYO
1. Maumivu yaTumbo wakati wakuingia kwenye siku.
2. Chango la uzazi.
3. Kuharibika kwa mimba.
4. Mtoto Kufa siku chache baada ya kuzaliwa
5. Kutoka damu mfululizo bila kikomo
6. Hamu ya Tendo la Ndoa
Kwamawasilianozaidi
0717 508180
0776 705030
Dr Swago
Okoa maisha yako sasa, ndoa yako, kazi yako, kwa nini uteseke muone Dr Swago ?, pia dawa ya mvuto wa biashara , mapenzi kumvuta mpenzio kwa siku 3, kuondoa nuksi mwilini,kupanda cheo kazini, biashara kutoka kwa haraka, kufuta kesi,mauzauza, nguvu za kiume, kisukari, matatizo ya henzi,harufu sehemu ya siri, pesa ya majini, sasa njooo kwa Dr Swago hakuna kinacho shindikana piga simu 0653989917 au 0752444877 www.drswago.blogspot.com

Okoa maisha yako na Dr Swago

Dr Swago
Okoa maisha yako sasa, ndoa yako, kazi yako, kwa nini uteseke muone Dr Swago ?, pia dawa ya mvuto wa biashara , mapenzi kumvuta mpenzio kwa siku 3, kuondoa nuksi mwilini,kupanda cheo kazini, biashara kutoka kwa haraka, kufuta kesi,mauzauza, nguvu za kiume, kisukari, matatizo ya henzi,harufu sehemu ya siri, pesa ya majini, sasa njooo kwa Dr Swago hakuna kinacho shindikana piga simu 0653989917 au 0752444877

Jamii iungane kukomesha ndoa za utotoni

UMASIKINI na ukosefu wa elimu juu ya ukatili wa kijinsia miongoni mwa wanajamii ni miomgoni mwa sababu inayochangia watoto  wadogo kukumbana na ndoa za utotoni.
Pia tatizo hilo linachangiwa na mila potofu pamoja na tamaduni, kwa baadhi ya makabila hapa nchini.
Watoto waliopo maeneo ya vijijini ndiyo wanakumbana na mateso ya kuozeshwa ndoa za utotoni kutokana na hali duni ya mfumo mzima wa maisha ya familia zao, na hivyo kushindwa kuendelea na masomo.
Wengi wa watoto hawa hawawezi kupinga suala hilo linapotokea na kwa kuwa ni vijijini inakuwa vigumu kupata msaada wowote wa kisheria.
Pia wapo walimu wakuu  shule za msingi  na sekondari ni chanzo cha tazito hilo kwa kuwa baadhi yao hushirikiana na wazazi kuwakatiza masomo watoto hao kwa ajili ya kuolewa.
Niliumia sana nilipokutana na mtoto wa miaka 15, aliyeolewa na akiwa na umri wa miaka 12 wakati huo akiwa mwanafunzi wa darasa la nne, katika shule ya msingi Izava  iliyopo Wilaya ya Chamwino, mkoani  Dodoma.
Taarifa hizo nilizipata kutoka kwa majirani wa kijiji nilichokuwepo. Ilikuwa vigumu kuamini tuko hilo, hivyo nililazimika kumtemblea mtoto huyo nyumbani kwake.
Nilihuzunika nilipomkuta  mtoto huyo akiwa nyumabani kwake huku kukiwa giza akihangaika kuwasha moto wa kuni. Pembeni yake kulikuwa na mtoto wa mume wake waliopishana mwaka mmoja.
Mtoto huyo alinieleza kwa masikitiko  huku machozi yakimtoka, jinsi alivyoachishwa shule na wazazi wake wakishirikiana na mwalimu mkuu wa shule aliyokuwa akisoma.
Bado nasikitika kuwa mwalimu mkuu wa shule hiyo jinsi alivyoweza kumpa mbinu muoaji, ili kuifumbaza jamii iliyowazunguka ama wanafunzi wenzake wasijue kinachoendelea kwa mtoto huyo.
Hata hivyo, mtoto huyo anasema mwaka huu angekuwa kidato cha kwanza kama angeweza kumaliza elimu yake ya msingi.
Najua kwamba mwalimu ni mlezi wa mwanafunzi wakishirikaana na wazazi,  lakini kwa hili imekuwa ni tofauti kabisa.
Ni watoto wangapi hapa nchini waliofanyiwa ukatili wa kuozeshwa ndoa za utotoni hasa waliopembezoni mwa mijni?
Hali duni ya maisha yetu isiwe sababu ya kuwadhulumu watoto wetu kupata haki zao za msingi.
Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (Tamwa) kimekuwa mstari wa mbele kupigania haki za wanawake na watoto, hivyo ni vema Tamwa wakaweka kambi vijijini, ili kubaini hali halisi ilivyopo huko ambapo watoto wengi huachishwa shule na kuolewa.
Niwasihi wazazi tusiwafanye watoto wao mradi wa kujipatia kipato na kuwaharibia mfumo bora wa maisha yao.
Pia tatizo hili ni letu sote wanajamii, hivyo kinachofanywa na Tamwa kinapaswa kiungwe mkono, ili kukabiliana na hali hiyo na kuweza kuondoa unyanyasaji kwa watoto waliochini ya umri wa miaka 18 nchini.
Mtoto wa kike ni mkombozi kwa jamii hasa akipata elimu, hivyo anahitaji kukombolewa, ili kuondokana na ukatili huo.
Watoto wanaolewa mapema hawapati elimu na nafasi ya kujipanua kiakili, hivyo hukosa fursa ya kujikuza kiuchumi hali inayosababisha kukosa uwezo wa kuzikomboa familia zao kutokana na umasikini uliopo.
Tunapaswa kubadili mtazamo wa familia na jamii kwa ujumla kuwa mtoto wa kike ana maamuzi yake na matarajio ya baadae hivyo, tusipoteze ndoto za watoto wetu.

Brewers wind up Kili Music Tour


The Tanzania Breweries’ Kili Music Tour under the Kilimanjaro Premium Lager banner was concluded in style following an epic concert staged at the Leaders Club venue in Dar es Salaam last Saturday.
 
The non-stop concert, which lasted nine hours, was highly thrilling and fans enjoyed every bit of it amid off-season intermittent showers that could not stop them from partying. 
 
This was a unique concert as three top bands Mashujaa, Mapacha Watatu and Malaika jointly performed on the same stage something that attracted fans as they cheered and sang along.
 
Other artistes who coloured the show included Khadija Kopa, Rich Mavoko, Ben Pol and Vanessa Mdee, Jambo Squard, Mwana FA, AY and Weusi. All artistes had something special for the fans and this kept the tempo of the show high and spellbound throughout. 

DIAMOND MARUFUKU UJERUMANI



Stori: Sifael Paul na mitandao
Kufuatia vurugu zilizoibuka ukumbini alfajiri ya Jumapili iliyopita baada ya msanii Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kucheleweshwa kupanda stejini kwenye Ukumbi wa Sindelfingen uliopo Mji wa Stuttgart, Ujerumani, mwanamuziki huyo anadaiwa kupigwa marufuku kutia maguu nchini humo.
Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
SHUHUDA WETU
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini mjini humo, ambacho pia kilikuwepo ukumbini wakati vurugu zilipoibuka, uchunguzi wa awali umeonesha kwamba, gharama ya vitu vilivyoharibiwa inakadiriwa kuwa zaidi ya Euro 128,322 sawa na Sh. milioni 280.
Viti vya ukumbi wa Sindelfingen uliopo Mji wa Stuttgart, Ujerumani vilivyoharibiwa na mashabiki waliopoteza uvumilivu kusubiri shoo ya Diamond Platinum.
“Tukio la vurugu za Diamond limeripotiwa kwenye magazeti tofauti mjini hapa lakini kubwa ni hasira ambayo mashabiki wa Diamond wameionesha waziwazi.
“Kwa mfano Gazeti la Stuttgarter la leo (Jumatatu) la mjini hapa limeandika:
Gari la polisi likiwasili eneo la tukio kutoa Msaada.
‘MASHABIKI WANA HASIRA NA DIAMOND’.
Kwenye habari zao waliwahoji watu waliofurika ukumbini hapo.
“Wengi walikuwa wakilalamika kwamba walikata tiketi mapema kwa euro 25 (zaidi ya Sh. elfu 55) kwa kichwa. Yaani kuanzia saa 4:00 watu walikuwa tayari wanamsubiri Diamond.
MUDA WAYOYOMA
“Kuna muda DJ alitangaza kwamba angepanda stejini kuanzia saa 6:00 usiku hivyo watu wakapunguza hasira. Cha ajabu saa saba ilikatika, nane ikapita, tisa ndipo mtiti ukaanza.
Mashabiki wakilizingira gari la Diamond.
“Sasa hebu fikiria mtu umetoa buku 55 yako halafu hadi saa tisa usiku mtu haonekani! Hapo ndipo tatizo lilipoanzia!” yamesomeka hivyo magazeti ya hapa.Ilisemekana kwamba ilipofika saa 10:00 alfajiri ndipo Diamond alipoletwa jukwaani na promota wake, raia wa Nigeria anayejiita Kamabritts.
CHUPA ZARUSHWA
Mashabiki walipoona kuwa hawakutendewa haki walianza kurusha chupa na kutaka kumvamia mwanamuziki huyo na promota wake.Ilidaiwa kwamba kilichowakera zaidi mashabiki hao ni vyombo vibovu vilivyofungwa ukumbini humo kitu ambacho kiliwafanya kuvunjavunja viti, meza, jukwaa na vyombo vya muziki kisha kusababisha watu kujeruhiwa na hasara kubwa ya mamilioni ya shilingi.
Mapolisi wakilinda gari la diamond dhidi ya mshabiki waliokuwa na gadhabu.
MAJERUHI WAONGEZEKA
Baadhi ya vyombo vya habari mjini humo, juzi (Jumatatu) viliripoti kuongezeka kwa majeruhi wakiwemo MaDJ wawili ambao hali zao bado ni tete hospitalini kwa sasa.
Katika vurugu hizo, DJ mwanamke aliyetajwa kwa jina la DJ Flor alizimia hivyo akakimbizwa hospitalini huku mashabiki wakimpa kipigo DJ Drazee.
KAULI YA POLISI
Polisi eneo la Sindelfingen, Stuttgart nchini Ujerumani walisema tukio hilo ni la aibu hivyo uchunguzi wa kina unaendelea ambapo promota huyo na Diamond watalazimika kulipa vitu hivyo na kwamba hawatawaruhusu kufanya tena shoo eneo hilo na kwingineko nchini humo.
Magari ya wagonjwa yakiwa tayari kuhudumia majeruhi eneo la tukio.
Vyombo vya habari vya Ujerumani viliandika kuwa polisi wamesema walitenga askari 18 wa kutuliza ghasia ambapo walifyatua mabomu ya machozi ili kumuokoa Diamond.Walisema kwamba kitendo cha msanii kuchelewa kufika jukwaani nchini humo ni kitu cha hatari mno kwani mashabiki wanaheshimu muda wao.
PROMOTA ASAKWA
Hadi gazeti hili linakwenda mitamboni polisi walikuwa wakimsaka promota huyo, Kamabritts ili wamalizane na Diamond aruhusiwe kuondoka nchini humo na asirudie tena jambo kama hilo.
MCHEZO NYUMA YA PAZIA
Duru za kiuchunguzi zinaonesha kwamba, shoo nyingi za wasanii kutoka Afrika zinazofanywa kwenye kumbi mbalimbali katika baadhi ya nchi za Ulaya, hucheleweshwa makusudi ili vinywaji viuzike.
'Mzee wa Mdogomdogo', Diamond Platinum taratiiiibu akiondoka eneo la tukio huku gari likishambuliwa na washabiki wenye gadhabu.
Ilidaiwa kwamba, katika tukio hilo baya, kulikuwa na tatizo la kiusimamizi kwani mbali na promota, menejimenti ya Diamond ilipaswa kuwa na ratiba kamili na siyo kumsikiliza promota ambaye anawaza zaidi kuingiza kipato kuliko heshima ya msanii hivyo jamaa huyo kuwa staa wa kwanza kutoka Afrika Mashariki kusababisha vurugu Ulaya.
LAWAMA KWA MENEJA WA UJERUMANI
Kuna maelezo kwamba, Diamond huwa ana mameneja wengi kwenye kila nchi anayokwenda hivyo huyo meneja wa Ujerumani alistahili lawama zote kwani alipaswa kujua kinachoendelea ukumbini.
BABU TALE ANASEMAJE?
Kuhusu hilo, Risasi Jumatano lilimtafuta meneja wa Diamond ambaye hakusafiri na msanii huyo, Babu Tale na kuulizwa kulikoni yaliyomkuta Diamond Ujerumani ambapo alikuwa na haya ya kusema:
“Kweli inasikitisha lakini haukuwa mpango wa Diamond. Ninachojua alikuwa akimsikiliza promota.
Ni changamoto kubwa lakini tunaomba radhi kwa mashabiki wetu wa Ujerumani. Next time wampokee vizuri.“Lakini kwa upande mwingine unajua ni jambo kubwa na niseme tu kuwa ukilitazama tukio hili kibiashara ni kama limemkuza zaidi kujulikana duniani. Umeona ameripotiwa na vyombo vingi vya habari. Mitandao ya kijamii ndiyo usiseme. Yote kwa yote tumejifunza na tunaomba radhi. Tusiangalie tulipoangukia, tuangalie tulipojikwaa.”Chanzo:www.globalpublishers.info

Kanisa, Mama wa Wabatizwa wote



Kanisa ni mama mwenye kuonea fahari watoto wake. Hili limeelezwa na Papa mapema Jumatano, wakati akitoa katekesi yake kwa mahujaji na wageni walio fika kumsikiliza katika uwanja wa Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro Vatican. Katika Katekesi hiyo Papa pia kwa namna ya pekee, aliwakumbuka Wakristo wanaoteseka, hasa huko Iraq nakuwakumbusha kwamba, Kanisa kwa maombezi ya Bikira Maria Mama wa Kanisa, daima huwatetea watoto wake , na kuteseka pamoja nao katika dhiki zao zote.

Baba Mtakatifu Francisco katika Katekesi hii kwa mahujaji na wageni, aliendelea kutafakari juu ya Imani ya Mkristo kama alivyosiistiza kwa mara kadhaa kwamba, haiwezekani kuwa Mkristo wa kweli kwa kujitenga mbali na wengine, au kwa kutumia nguvu binafsi za kibidamu na ukristo hautengenezwi katika maabara , lakini kwa yale yanayotokana na matendo mema na kukua katika imani inayowaunganisha waumini wote katika mwili mmoja ambalo ni Kanisa. Kwa maana hii, Kanisa linakuwa kweli mama, mama yetu Kanisa. Papa alisisitiza akisema , tazama tu hata inavyo pendeza kutamka, Kanisa ni mama yetu, ndiye anayetupatia uhai katika Kristo na hutufanya kuishi kama ndugu katika umoja wa Roho Mtakatifu.